YAKUBU AKIMBILIA CHINA.


 
Wimbi la wachezaji wakongwe wenye asili ya kiafrika kuhamia barani Asia linazidi kuongezeka baada Yakubu Ayegbeni kusaini katika klabu ya Gunzou ya nchini china.
Yakubu amesaini mkataba wa miaka mitatu na kuthibitisha kuikacha klabu ya Blackburn Rover alieitumia katika msimu wa 2011 na 2012.
Kwa upande wa klabu ya Ganzou, imekataa kubainisha thamani ya mkataba wa mchezaji huyo wa Nigeria alielitumikia taifa lake bila ya mafanikio tangu mwaka 2000.
Mpaka sasa wachezaji wengine wenye asili ya kiafrika wakiwemo Samuel Etoo, Didier Drogba pamoja na Mfaransa Nicolas Anelkawamemia vilabu vya barani Asia.

0 comments:

Post a Comment