FUNUNU HIYO MRWANDA HUENDA AKASAINI SIMBA.

              
                                    Mrwanda akiwa kazini.
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba anaecheza klabi DT long ya Vetnam Dan Mrwanda huenda akasaini mkataba ndani ya klabu ya Simba huku tetesi zikisema kuwa nyota huyo ataingia mkataba wa miezi mitatu tu.

0 comments:

Post a Comment