BREAKING NEWSSSSSSSSS: VIJANA WA IRINGA NAO KUSAFIRI KESHO.


Kikosi cha Copa coca cola mkoani Iringa kusafiri kesho kuelekea mkoani Pwani kwaajiliya michuano hiyo kwamujibu wa katibu wa IRFA Eliud Mvela amesema kikosi hicho kitasafiri na viongozi 4 pamoja na wachezaji 20 tayari kabisa kufanya makubwa kwenye michuano hiyo.

0 comments:

Post a Comment