
walcot akiwa chini baada ya kuumia kwenye mchezo wa jana.
Kocha wa timu ya taifa ya England, Roy Hogson, amesema
mshambuliaji wake wa Pembeni Theo Walcot, atafanyiwa uchunguzi zaidi kabla ya
kuukabili mchezo wa jumanne.
Hogson amesema hayo wakati akizungumzia jeraha la kifua
alilolipata mchezaji huyo kwenye mchezo wa jana dhidi ya San Marino, ambao
Walcot aliumia baada ya kugongana na kipa wa Marino, Aldo Simoncini.
Akizungumzia maendeleo mchezo huo,Hogson amesema usiku wa
jana alilazwa hospali na hii leo anataraji kupigwa picha ya X-ray kwaajili ya
uchunguzi zaidi wa afya yake.
Ushindi wa magoli 5 alioupata jana, Hogson amesema ni ushindi
faraja kwao na wanajipanga kusaka ushindi zaidi katika michezo inayofuta
ukiwemo wa jumann dhidi ya Poland.
Taarifa Soccerway
0 comments:
Post a Comment