
Kiungo wa Liverpool na nahodha wa timu
hiyo Steven Gerrard amesema kuwa ataendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mwisho
wa kipindi chake cha uchezaji soka.
Gerrad amesema kuwan kila mmoja
anadhani kuwa kichwa chake kinafikiria kuondoka aliko sasa lakini si kweli bado
kufirikia suala hilo ambalo ni zito zaidi.
Aliongeza kiungo huyo mwenye umri wa
miaka 32 kuwa hajutii kuwa na Liverpool na anafurahia maisha ya Anfild. Nime
zaliwa Liverpool na ni mshabiki wa Liverpool nikiwa na maana nitamaliza maisha
yangu ya soka nikiwa hapa, Alisema Gerrard.
Ikumbukwe kuwa juni
25 mwaka 2004 mmliki wa Chelsea Roman Abrohomovic alitaka kumsajili Steven Gerrard kwa ada ya paundi milioni 36 huki akiwekewa mshahara wa paund
120000 kwa wiki.
Gerrard alijiunga Liverpool November
mwaka 1998 mpaka sasa tayari amecheza
mechi 600.
Gerrard's
Trophy Haul
- FA Cup: 2001, 2006
- League Cup: 2001, 2003, 2012
- Champions League: 2005
- Uefa Cup: 2001
- Uefa Super Cup: 2001, 2005
- Community Shield: 2001, 2006
- FWA Footballer of the Year: 2009
- PFA Players' Player of the Year: 2006
- PFA Young Player of the Year: 2001
0 comments:
Post a Comment