VAN GAAL HAMTAKI VAN PARSE.



                 
Kocha wa timu ya taifa ya Louis van Gaal amesema kuna uwezekano wa kumuanzisha mshambuliaji wa wake Klass-Jan Huntelaar  badala ya Robin van Persie kwenye mchezo wa Ijumaa dhidi ya Andorra.

Akizungumza na Mtandao wa Soccerway, Van Gal amesema anatazamia kufanya hivyo kulingana na ubora wa wachezaji hao na nafasi wanazocheza uwanjani ikiwa wote wanasimama kama washambuliaji wa kati.

Aliongeza kuwa anafahamu uwezo wa mshambuliaji wa Manchester united Robin Van Parse  sambamba na Huntelaar anayechezea  Sharke 04 ya ujerumani, ila Van Parse atakuwa na wakati mgumu kuanza kwenye mchezo huo.
Van Gal anaingia alianza kuifundisha Uholanzi Julai 6 mwaka huu, baada ya kufutwa kazi aliekuwa kocha wa timu hiyo Bert Van Marwjik,  wakati sasa anakibarua kigumu  cha kutafuta tiketi ya  kombe la dunia mwaka  2014 kule nchini Brazil.
MWISHO.

0 comments:

Post a Comment