NJOMBE MJI KUCHEZA NA BURKINA FASO



Timu ya Njombe mji toka mkoa mpya wa Njombe hapo kesho itashuka dimbani kucheza na timu ya Burkinfaso ya Morogoro katika mchezo wa kirafiki utakaochezwa kwenye uwanja wa Amani.
Akizungumza na Ebony FM katibu wa Njombe Mji, Kaini Nyigu amesema maandalizi ya mchezo huo yamekamilika huku akiwataka wadau kujitokeza kwenye mchezo huo.
Huu ni mchezo wa nne wa mkubwa wa kirafiki kwa timu ya Njombe mji ambayo imajipanga vilivyo kuhakikisha inafanya vema kwenye michuano ya ligi ya wilaya.

0 comments:

Post a Comment