MANCINI AKATA TAMAA.



            Roberto Mancini
Kocha wa Manchester City Roberto Mancini amekiri kuwa itakuwa miujiza kwa timu yake kufika hatua ya mtoano ya michuano ya ligi ya mabingwa baada ya kumaliza vibaya mchezo wa mwisho wa hatua ya mkundi.
Hapo jana kikosi chake cha Manchester City kilichopo kundi katika michuanoa ya mabingwa barani ulaya kilifungwa na Ajax ya Uholanzi magoli 3kwa 1 na kuifanya timu hiyo imalize raundi ya kwanza ya makundi ikiwa na alama 1.
Kocha wa huyo wa kitaliano amethibisha kuwa kufungwa mchezo wa jana kunatokana na maandalizi mabovu aliyoyafanya na kikosi chake huku akisema kwamba stahili kucheza kama wapinzani wake ambao ni Madrid, Dotmund na Ajax wanavypambana katika michuano hiyo.
Katika kundi D Manchester inashika nfasi ya 4 ikiwa na alama moja wakati Borusia Dotmund ikiongoza kundi ikiwa na alama 7 ikifuatiwa na Real Madrid yenye alama 6 na nafasi ya tatu ikishikwa na Ajax yenye alama 3.

0 comments:

Post a Comment