
Uongozi wa klabu ya samba umteua
kamati mpya za klabu hiyo ikiwa nisehemu ya maandalizi ya timu hiyo kwaajili ya
ligi kuu ya Tanzania bara na ligi ya mabingwa ya Afrika.
Baada ya kutajwa kwa kamati hizo
mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage amewapongeza wale wote walioteuliwa kwenye
kamati hizo za wekundu wa msimbazi.
Lakini pia kamati hizo zinaanza
kazi mara moja na zimepewa fursa ya kuita vikazo pale zinapotaka kukamilisha
majukumu yake.
Kamati za samba zipo kama
ifuatavyo.
KAMATI YA UFUNDI
Damian Manembe-MWENYEKITI, Ibrahimu Masoud-MAKAMU
MWENYEKITI, Crescencius Magori, Khalid Abeid, Said Tully, DR. Katagile, Zamoyoni
Mogela, JonhWilliam (DEL PIERO), Yusuf Macho, Jeff Lea, Bita John, Shabani
Baraza
KAMATI
YA FEDHA
Geofrey
Nyange (MWENYEKITI),Rahma AL Khaloos-MAKAMU
MWENYEKITI, Francisis Waya, Zitto Kabwe, Juma Nkamia, Ruge Mutahaba.
KAMATI
YA MASHINDANO
Swedy
Mkwabi-MWENYEKITI, Saidi Pamba-MAKAMU MWENYEKITI, Selemani Zeddy. (MB), Jerry
Yambi, Iddi Kajuna, Chaurembo Gerlad Lukumay, Habib Nassa, Bundala Kabulwa,
Charles Hamkah, Saidi Rubeya, Abdulfatah Salum,Hatibu Mwinyi, Abdul Mshangama, Humphrey
Zebedayo, Majaliwa Mbassa, Suleimani Zakazaka, Kessi Mohammed, Mohammed Issa
Mbena.
KAMATI
YA PROGRAMU ZA VIJANA
Ibrahimu
Masoud –MWENYEKITI,Ruge Mutahaba-MAKAMU MWENYEKITI, Joseph Kitang`are-MJUMBE/MLEZI,
Wilfred Kidau,Mohammed Abdallah,Saidi Tully, Canisius Masombaro,Hamis Mrisho,Dama
Ndumbaro,Talib Hilal.
Kwa upande mwengine klabu ya Simba
inarejea kesho kutoka Oman saa 10 jioni na itaingia kambini moja kwa moja
kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya African Lyon Jumamosi hii
katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment