
Wayne Roony amezindua pikipiki bora zikatazo ingia kwenye mauzo kwaajili ya kusaidia watoto walipatwa na matizo mbalimbali hususan maradhi na pikipiki hiyo zitazinduliwa rasmi katika ktka jengo la biashara la Bonhams Feb 20 mwaka huu
piki hizo zimezinduliwa zikiwa na picha ya mshambuliaji huyo akishangilia goli ka Tiktaka alillofunga katika mchezo dhidi ya City.



0 comments:
Post a Comment