
Benjamin Johnson
Nguli wa zamani
wa kukimbiza upepo Mcanada, Ben Johnson, anaamini kuwa wamarekani watamsamehe
dereva wa mbio za baiskeli wa taifa hilo Lance Armstrong Hamstrong aliekiri
hivi karibuni kwamba alitumia madawa ya kulevya wakati akifanya mahojiano
katika kipindi cha Oprah Winfrey.

Lance Armstrong.
Ben amesema
afikirii kwa inaweza kuwa ishu kubwa wa wamarekani na badala yake anatoa nafasi
kwa Amstrong kufanya kitu tofauti ambacho kitakuwa bora zaidi.
Mwaka 1988
Johnson alikumbwa na kifungo kutokana kashfa inayofanana na hii inayomkabili
Amstrong.
0 comments:
Post a Comment