CHELSEA NJE CAPITAL ONE.



 Chelsea and Swansea players react after the incident between Eden Hazard and the ball boy
                     Harzad baada ya kumchapa teke Ball boy.
Usiku wa jumanne klabu ndogo ya ligi two kule nchini England Bradford City, ilijihakikikishia kuingia fainali ya Capital one kwa idadi ya magoli 4 kwa 3 ya michezo miwili dhidi ya Aston villa.

 
Usiku wa jana nao mambo yalikuwa magumu kwa Chelsea baada ya kutoka suluhu na Swansea City na kuiwezesha timu hiyo kuingia fainali ya Capital one kwa mara ya kwanza.
Katika mchezo awali Chelsea ilifungwa magoli 2 kwa 0.
Fainali ya Capital One, itachezwa  tarehe 24 February  mwaka huu.
Mbali na yote tukio la kusikitisha ni kadi nyekundu mshambuliaji wa  Chelsea 
 
Eden Harzad alitolewa mchezoni baada ya kumpiga teke Ball boy.

0 comments:

Post a Comment