OKWI SASA ACHEZA KIARABU KITUPU



 
Siku chache baada ya kupata uthibitisho wa mchezaji wa klabu ya Simba Emmanuel Okwi kuwa ahajakimbia kambini na badala yake yupo katika mazungumzo na klabu ya Etoile Du Sahel ya tunisia hii mchezaji huyo mauzo yake yamekamilika kwa asilimia 100,
Akizungumza na Blog hii mwenyekiti wa kamati ya usajili wa klabu ya Simba Zacharia Hans Pope amesema Okwi ameuzwa kwa thamani ya dola laki tatu za kimarekani saswa na milioni 450 za kitanzania.
Hans Pope amesema kuwa mwenyekiti wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage ayupo nchini humo kwa siku kadhaa sasa kumalizana na klabu ya Etoile juu ya Okwi.

0 comments:

Post a Comment