GUARDIOLA NDANI YA MUNICH BENCHI.



 Pep Guardiola
Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona Pep Guardiola hii leo amepewa kibarua rasmi cha kuinoa timu ya Bayern Munich ya ujerumani.
Guardiola amekaa nji ya uwanja kwa takribani miezi  saba sasa tangu aachane na ufundishaji wa soka kwa muda.
Nafasi ya Guardiola imekuja baada ya kocha wa Munich Jupp Heynckes kutangaza nia ya kupumzika kufundisha soka kabisa kutokana na kuwa na umri  wake wa miaka 67.
Macho ya matajiri na makocha wengi wakiwemo Roman Abrohomovic wa Chelsea na  Ferguson wa machester united waliwahi kutanga nia ya kutaka muhispania huyo awe na nafasi katika vilabu vyao.

0 comments:

Post a Comment