OKWI AFUNGA MIDIMO YA WANAJANGWANI.


Mshambuliaji Emmanuel Okwi amewasili jijini Dar Es Salaam hii leo tayari kwa ajili ya siku ya Simba ya hapo kesho,
Kwamujibu wa msemaji wa Simba Ezekiel Kamwaga amenihakikishia ya kwamba Okwi yupo mjini na wakati naongea naye alikuwa klabuni mtaa wa Msimbazi akijiandaa kwenda viwanja vya TCC Chang'ombe kwa ajili ya Mazoezi.

Ujio wa Okwi umezima ndoto za mashabiki wengi wa Simba walitokwa na imani ya kuendelea kumtumia mchezaji huyo msimu huu huku mashabiki wa Yanga wakiwa na imani kuwa huenda akajiunga na klabu yao ya jangwani.

0 comments:

Post a Comment