MAUZO YA NGASA YAKAMILIKA KWA HIYARI YA NGASA MWENYEWE.

 
Kwa ufafanuzi tu biashara ya Ngasa imeisha kwa kukubali kupokea shilingi milioni 30 na gari huku akiongeza mkataba wa mwaka mmoja wa ziada mbali na mwaka mmoja wa kutumikia Simba kwa mkopo.

Wadau wengi wa soka nchini wameibuka na madai kuwa ni dili ambalo tayari limeshapangwa na klabu ya Azam kutokana na mauzo ya mkopo yalivyozingatiwa kwa pande zote tatu.
                                                      akiwa kwenye mchuma wake mpya.
Maswali yanakuja kwako je unaweza kuamini mauzo ya mkopo yaliyo lala katika pande mbili kwanza kabala ya upande wa mchezaji mwenyewe?
                                                                     kaanza kazi rasmi
Unauzngumziaje mkataba wa Ngasa na Simba ilhali hivi karibuni nyota huyo alionekana kama bado ana mapenzi na Yanga kazi kwako?

0 comments:

Post a Comment