Hii ni kali ya leo siku chache baada ya kocha mkuu wa klabu ya Azam Stewart Jonh Hall kutimuliwa kazi na klabu yake ya Azam hii leo klabu ya Azam imetangaza kumuajili kocha mpya wa klabu hiyo Boris Bunjak raia wa Serbia.
Kocha anasifika kwa uzoefu wa miaka zaidi ya kumi kati ufundishaji wa soka huku akiiingia katika nchi ambayo tayari makocha takriani saba wa Kiserbia wa kiwa wameshawasili kufundisha soka.
CV yakocha huyo ni.
BORIS BUNJAK | |
Born : | 17.11.1954. |
Nationality : | Serbian |
Position : | Coach |
Languages : | English , Rusian , Serbian |
Current address : | Kraljevo 36000 Veljka Vlahovica 33/15 Serbia |
Contact : | Serbian mob : +38163 776 44 88 Home number + fax : +38136 322 735 E-mail : bbunjak@yahoo.com Facebook : Boris Bunjak www.borisbunjakcoach.com |
Education : | Higher coach of football UEFA – PRO LICENCE |
Coaching career : | 2011 ![]() 2011- ![]() 2009-10 ![]() 2008-09 ![]() TECHNICAL SUPERVISOR 2007-08 ![]() COACH 2006-07 ![]() 2005-06 ![]() 2004-05 ![]() TEAMCOACH 2002-04 ![]() 2000-02 ![]() 1999-00 ![]() 1998-99 ![]() 1996-97 ![]() 1995-96 ![]() 1993-94 ![]() 1990-93 ![]() |
Playing career : | 1967-75 FK „SLOGA“ Kraljevo 1975-78 FK „VOZDOVAC“ Beograd 1978-79 FK „RADNICKI“ Kragujevac 1979-80 FK „ OLIMPIA“ Ljubljana 1980-81 FK „ SUMADIJA“ Arandjelovac 1981-85 FK „SLOGA“ Kraljevo 1985-86 FK „BORAC“ Cacak 1986-90 FK „ SLOGA“ Kraljevo |
0 comments:
Post a Comment