SATETA KUUUMANA NA WANGONGO KWENYE MCHEZO WA FAINALI.

Kimetimuka kwenye uwanja wa Bandari wilayani Temeke jijini Dar es Salaam kwa mchezo wa fainali ya kombe la Ng`ombe kwa mchezo kati ya Ajax Mzamba maarufu kama Wangongo wakicheza na Sateta FC zote za Temeke.

Ni ngoma ambayo imetawaliwa na mastaa wengi wa ligi kuu ya Tanzania bara akiwemo Amos wa JKT Ruvu, Salum Kinje pamoja na Nassor Saidi, Chollo.

= Dakika ya kwanza mchezo umeanza Wangono wameanza kipute
tusubiri kitachoendelea.

0 comments:

Post a Comment