Baada ya kutwaa ubingwa ligi ya mabingwa afrika ya mashariki, Kagame Cup uongozi wa mabingwa wa kombe la kagame Dar es Salaam Young Afrika umekemea kitendo cha mashabiki wa Yanga kufanya fujo katika mchezo wa fainali kati yao dhidi ya Azam FC mchezo uliopigwa juma lililopita.
Msemaji wa Yanga Luis Sendeu amesema uchunguzi juu ya jambo hilo unaendelea na ikibainika kuwa walianza mashabiki wa yanga hatua kali zitachukuliwa.
Kwa upande mwengine Sendeu amefunguka juu ya timu hiyo na kusema kwa wachezaji wa Yanga wamepewa likizo ya wiki moja inayotarajiwa kumalizika siku ya ijumaa.
0 comments:
Post a Comment