Baada ya kikao cha kamati ya jana na leo jumatatu ili kupitia rufaa aliyokatiwa mgombea nafasi ya uenyekiti wa klabu ya Yanga Yusuph Manji na Ishabakaki Lutta kamati ya hiyo hii leo imetoa jibu juu ya rufaa hiyo.
Katia majibu hayo ya kamati huku ikipitia ibara ya 11 kipengele cha pili imesema kuwa mrufani akutoa vielelezo vya kutosha na kuweka anuani ya kudumu ya rufaa yake.
Nakutokana mrufani hakutokea kutetea rufaa hiyo kamati imeamua kutupilia rufaa hiyo na kuleta maana kuwa Manji atagombea nafasi yake.
0 comments:
Post a Comment