
Yanga ya msajili Kavumbagu kwa mkataba wa miaka miwili.
Kutoka katika chanzo cha kuaminika cha habari Didier Kavumbagu amesaini mkataba huo siku ya julai 28 ikiwa ni saa chache tu kabla ya mechi ya fainali kuanza kati ya Yanga na Azam FC.
Kavumbagu anatarajiwa kujiunga na kikosi cha Yanga rasmi siku ya Jumatatu ya wiki ijayo.
0 comments:
Post a Comment