TIMU YA WAFANYAZI KAZI MANISPAA YA IRNGA YAINGIA KATIKA MAANDALIZI MAZITO



Timu ya wafanyakazi wa taasisi za serikali katika manispaa ya Iringa ipo kwenye maandalizi makali kujiandaa na mashindano ya Simishemita yanayotaraji kufanyika kitaifa mkoani Dodoma mwezi huu.

Katibu  mkuu wa timu za wafanyakazi wa serikali wa manispaa hiyo Athumani Mayoro amesema maandalizi yapo vizuri kinachosuburiwa ni utendaji tu katika michuano hiyo.
  
Timu hiyo inatarajiwa kusafiri katikati mwezi huu ambapo tarehe rasmi ya kuanza mashindano hayo yatakayowashirikisha wafanyakazi wa taasisi za umma ni tarehe 22 ya mwezi huu.

0 comments:

Post a Comment