ROBSON AANZA VYEMA JAPAN OPEN.



 Laura Robson
Mwanadada wa Uingereza, Laura Robson amefanikiwa kufuzu raundi ya pili ya michuano ya Japan Open  baada ya kumfunga Mgiriki, Eleni Daniilido kwa seti 6-4,6-2.
Laura mwenye umri wa miaka 18 akiwa katika nafasi ya 56 duniani atakutana na mwanadada wa kichina, Zhou Yimiao katika mchezo wa raundi inayofuta.
Robson huenda akashika nafasi ya 50 kwa ubora kama atwaa mataji yanayokuja ukijumuisha na ushindi wa medali alizoshinda kwenye michuano Olimpic.
Kumbuka kuwa Robson aliikosa kushika nafasi ya 50, baada ya kufungwa na Su Wei wa china katika fainali Guangzhou Open na kushindwa kuvunja rekodi ya muingereza Sara Gomer  alietwaa taji hilo kwa  mara ya mwisho mwaka 1988.

0 comments:

Post a Comment