MARREY AREJEA KWENYE RAMANI.



           Andy Murray
                                   Andy Murrey
Mcheza Tennis wa kiingereza Andy Murrey ameingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya Shanghai Open baada ya kumfunga Radek Stepanek toka jamhuri Czech kwa seti 4-6, 6-2, 6-3.
Ushindi wa huo wa robo fainali utamkutanisha Murrey na Marin Cilic wa Crotia au Roger Federer ambao kwa sasa wapo uwanjai kucheza mchezo wa robo fainali.
Murrey mwenye umri wa miaka 25 aliingia hatua ya robo fainali kwa kumtoa Alexander Dolgopolov wa Ukrain katika mchezo wa raundi ya tatu aliyoingia baada ya mipnzani wake kujitoa kutokana na kuwa na majeraha.
Andy ndiyo nyota anayetazamwa sana na waingereza huku wakitegemea kazi yake irejeshe heshima Tennis nchini Uingereza.
Taarifa toka BBC.

0 comments:

Post a Comment