NADAL ATWAA UBINGWA. WA FRENCH OPEN.


 
 Nadal akiwa na taji la French Open
Mcheza tenis namba mbili duniani Rafael Nadal avunja rekodi ya michuano ya French Open kwa kutwaa ubingwa mara saba mfululizo huku akimuacha Bjorn Borg akiwa amechukua mara sita.

Katika fainali hiyo Nadal alimfunga bingwa namba moja duniani ambaye ni Novak Djokovic kwa seti 6-4 6-3 2-6 7-5 katika mchezo ulioharishwa kwa siku moja kutokana mvua kubwa kunyesha.

1 comments:

Mzee wa Changamoto said...

Karibu katika ulimwengu wa magazeti-tando mkuu

Post a Comment