Taarifa nzito ilizotufikia hii leo ianeleza kuwa kuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara amepata ajali ya gari wakati akielekea jijini Mwanza leo.
Waziri Mukangara amepata ajali hiyo mkoani Tabora wakati akielekea jijini Mwanza kwenye Ufunguzi wa Mashindano ya Taifa ya Mchezo wa Vishale maarufu kama Darts.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari imeenlezwa kuwa Gari la Waziri Mukangara limegongana na basi la Green Star na waziri huyo yupo hospitali ya mkoani Tabora kwa matibabu zaidi.
Lakini pia tunamshukuru mungu katika ajali hiyo hakuna mtu aliefariki.
0 comments:
Post a Comment