Uchaguzi wa TFF umesitishwa katika tarehe iliyopangwa kwa mujibu wa Ibara ya 10(5) Tff imesitisha uchaguzi huo kutokana na mamlaka yake hadi hapo itakapo maliza matatizo ya kikatiba.
taarifa hiyo imeetolewa leo na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi Deogratius Lyato.
Chaguzi za TFF kwa upande wa TBL BOARD ulitakiwa kufanyika February 22 na TFF February 24.
0 comments:
Post a Comment