Michuano ya
Msigwa Cup imeendelea hii leo kwa mchezo wa nusu fainali ya kwanza kati ya chuo
cha maendeleo ya jamii CDTI na Polisi ya Iringa ambapo mchezo huo umemalizika
kwa matokeo ya timu ya Polisi kushinda magoli 2 kwa 0.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment