MSIGWA CUP YAANZA NUSU FAINALI.



Michuano ya Msigwa Cup imeendelea hii leo kwa mchezo wa nusu fainali ya kwanza kati ya chuo cha maendeleo ya jamii CDTI na Polisi ya Iringa ambapo mchezo huo umemalizika kwa matokeo ya timu ya Polisi kushinda magoli 2 kwa 0.

0 comments:

Post a Comment