Ilivyokua ausbuhi ya jana.
Siku moja baada ya kocha wa
Manchester City, Roberto Mancini, kuripotiwa kukwaruzana na mshambuliaji wake
Mario Balloteli, hii leo meneja huo ametoa utetezi kwa mchezaji wake.
Akitoa ufafanuzi juu ya tukio
Mancini amesisitiza kutoa nafasi mia moja kwa nyota huyo huku akifuta hukumu
iliyotazamiwa kutolewa kwa Balloteli.
Mancini amesema Balloteli ni kijana
mdogo mwenye umri wa miaka 22 anaweza kukosea lakini pia bado ana muda wa
kubadilika kutokana na matendo yake.
Katika taarifa yake hiyo Mancini
amekana kuwa hakuwa na ugomvi kati yake ya Balloteli mbali na tafsiri ya picha
zilizosambazwa na wanahabari juu ya tukio hilo.
Asubuhi ya jana Balloteli alishikana
kocha wake baada ya kukemewa juu ya rafu alieyocheza kwa mchezaji mwenzake Scot
Sinclare.
MWISHO.
0 comments:
Post a Comment